Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiitikia dua ikisomwa na Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Mahmoud Mussa Wadi kulia wakati wa kuhitimisha hitma ya marehemu Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Mali Zanzibar Marehemu Abdalla Waziri iliofanyika katika Masjid Noor Mohammad Mombasa kabla ya kusaliwa kwa Mwili wa Marehemu katika masjid hiyo leo na kuzikwa Kijijini Kwao Muyuni Mkoa wa Kusini Unguja.
WIZARA YA NISHATI KUJA NA MPANGO WA KUNADI VITALU VYA UTAFUTAJI WA GESI NA
MAFUTA NCHINI
-
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulia Mafuta na Gesi Dkt
James Mataragio akizungumza wakati alipofungua Kikao cha Pili cha Mkutano
wa Pil...
53 minutes ago
No comments:
Post a Comment