Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiitikia dua ikisomwa na Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Mahmoud Mussa Wadi kulia wakati wa kuhitimisha hitma ya marehemu Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Mali Zanzibar Marehemu Abdalla Waziri iliofanyika katika Masjid Noor Mohammad Mombasa kabla ya kusaliwa kwa Mwili wa Marehemu katika masjid hiyo leo na kuzikwa Kijijini Kwao Muyuni Mkoa wa Kusini Unguja.
GGML, OSHA WAWANOA MAMA LISHE ARUSHA KUKABILIANA NA MAJANGA YA MOTO
-
Na Mwandishi Wetu, Arusha
KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Wakala wa
Usalama na Afya Mahala pa Kazi (OSHA), imetoa mafunzo...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment