Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed SheinAongoza Mamia wa Wananchi wa Zanzibar Katika Mazishi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Mali Zanzibar Marehemu Abdalla Waziri Masjid Noror Muhammad Mombasa Kwa Mchina

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiitikia dua ikisomwa na Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Mahmoud Mussa Wadi kulia wakati wa kuhitimisha hitma ya marehemu Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Mali Zanzibar Marehemu Abdalla Waziri iliofanyika katika Masjid Noor Mohammad Mombasa kabla ya kusaliwa kwa Mwili wa Marehemu katika masjid hiyo leo na kuzikwa Kijijini Kwao Muyuni Mkoa wa Kusini Unguja.













No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.