Mamlaka ya Mawasiliani Tanzania Yatowa Elimu ya Matumizi ya Mitando kwa Watu wenye Ulemavu Visiwani Zanzibar, mafunzo hayo yamefanyika katika Ukumbi wa Mkutano wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar, kama wanavyoonekana pichani wakifuatilia mafunzo hayo wakipitia makabrasha ya TCRA wakati wa mafunzo hayo.
TANTRADE YASHIRIKIANA NA WIZARA YA MAMBO YA NJE KUTOA MAFUNZO YA UUZAJI
BIDHAA, UINGEREZA.
-
Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTARADE) kwa kushirikiana na
Wizara ya Mambo ya Nje na Wizara ya Viwanda na Biashara Imeratibu Semina ya
Waf...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment