Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya Tanzania Darasa akitowa burudani wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Ofa ya Zantel katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Zanzibar, ya Msako Time kujipatia Ofa ya Internet kwa kujiunga kwa shilingi 500/= na zaidi kupata ofa hiyo kuazia saa tisa mchana hadi saa kumi na moja jioni.
WAKULIMA KUNUFAISHWA NA (TBL) KUPITIA MASOKO YA KIKANDA
-
KAMPUNI ya Tanzania(TBL) imedhamiria kuwasaidia wakulima nchini kwa
kutambua uwezo wao wa kulisha watu, viwanda, na biashara katika ukanda huu
kupitia mika...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment