Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya Tanzania Darasa akitowa burudani wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Ofa ya Zantel katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Zanzibar, ya Msako Time kujipatia Ofa ya Internet kwa kujiunga kwa shilingi 500/= na zaidi kupata ofa hiyo kuazia saa tisa mchana hadi saa kumi na moja jioni.
Meridianbet Yaungana na Diwani wa Kata Kufanya Usafi Africana
-
IKIWA ni Jumamosi nyingine ya kijanja, wakali wa ubashiri Meridianbet leo
hii wamefika Mbezi Africana pale Kituoni na kufanya zoezi la usafi. Lakini
pia l...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment