Habari za Punde

Ujumbe wa TAMWA na Ubalozi wa Denmark Watembelea Wananchi wa Kijiji cha Kangagani Pemba

Wajumbe kutoka Ubalozi wa Denmark nchini Tanzania, Deodatus Ngasa (kulia) ,Jamila Kyembe na Abdalla Mohammed Kapingo wakisikiliza kwa makini maelezo kutoka kwa waratibu wa kupambana na vitendo vya udhalilishaji, huko Kangagani Wilaya ya Wete Pemba.
Ofisa Uendeshaji wa TAMWA Kisiwani Pemba Bi. Asha Mussa Omar, akizungumza na waratibu wa kupambana na vitendo vya udhalilishaji katika Shehia 6 za Wilaya ya Wete huko Kangagani Wilaya ya Wete, Pemba
MRATIBU wa kupambana na vitendo vya udhalilishaji shehia ya Kinyikani Mchaga mdogo, Mauwa Hemed akitoa maelezo kwa viongozi wa TAMWA na wageni kutoka Ubalozi wa Denmark nchini Tanzania huko Kangagani Wilaya ya Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba.(Picha na Said Abdulrahaman - Pemba)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.