Habari za Punde

Banda la Maonesho la Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Lavutia Wengi Maonesho ya Nanenane Simiyu 2019.

Afisa wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Mkaguzi Joseph Mwasabeja (kulia) akitoa elimu ya kukabiliana na majanga ya moto kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Busega Bwa. Anderson Njiginya (wapili kulia) na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima Bi. Elizabeth Gumbo (wapili kushoto), walipotembelea Banda la Maonesho ya Nanenane simiyu.
Afisa wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Mkaguzi Joseph Mwasabeja (kulia) akitoa elimu ya kinga na tahadhari dhidi ya majanga ya moto kwa Wakazi wa Mkoa wa Simiyu Bariadi na Mikoa ya Jirani, walipotembelea Banda la Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Maonesho ya Nanenane simiyu
Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji (Simiyu) Konstebo Magreth Mabago (kusho) akitoa elimu ya kinga natahadhari dhidi ya majanga ya moto kwa wanafunzi wa Simiyu Sekondari walipotembelea Banda la Maonesho ya Nanenane simiyu

Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Konstebo Robert Mates akitoa elimu ya kinga na tahadhari dhidi ya majanga ya moto kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Banemhi, walipotembelea Banda la Maonesho ya Nanenane simiyu
Picha na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji
 Imwandaliwa na Kitengo Cha Mawasiliano na Elimu Kwa Umma - Jeshi la Zimamoto na Uokoaji .

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.