Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, akisisitiza jambo
kwa Waziri Biashara na Viwanda, Chris Yaluma, kutoka Zambia kuhusu masuala ya
uwekezaji katika miundombinu ya usafirishaji, wakati alipomtembelea katika
ofisi ndogo ya Wizara jijini Dar es Salaam.
Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe (kushoto),
akijadiliana jambo na Waziri wa Biashara na Viwanda, Chris Yaluma (kulia) kutoka
Zambia wakati alipomtembelea katika ofisi ndogo ya Wizara jijini Dar es Salaam.
Waziri
wa Biashara na Viwanda kutoka Zambia, Chris Yaluma, akifafanua jambo kwa Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, wakati
alipomtembelea katika ofisi ndogo ya Wizara jijini Dar es Salaam.
Waziri
wa Biashara na Viwanda kutoka Zambia, Chris Yaluma, akisisitiza jambo kwa Mkurugenzi
wa Huduma za Uchukuzi kutoka Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta
ya Uchukuzi), Aron Kisaka, wakati alipotembelea ofisi ndogo za Wizara jijini
Dar es Salaam.
Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, akiagana na Waziri
Biashara na Viwanda, Chris Yaluma, kutoka Zambia mara baada ya kukutana na
kujadili fursa za uwezekezaji nchini hususan sekta ya usafirishaji katika ofisi
ndogo ya Wizara jijini Dar es Salaam.
Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara
ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano
No comments:
Post a Comment