Habari za Punde

Kijiji cha Mtamba wapata mfadhili kuwajengea kisima

 Mfadhili kutoka Kampuni ya Ivode Carneri Foundation  Yahya Mohammed  Al-Sawaty  wakielekea katika kisima cha maji wanachotumia wananchi wa Kijiji cha Mtamba kwa ajili ya matumizi yao (wa pili) Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Zawa Omar Mshindo Bakari.
 Mfadhili wa ujenzi wa kisima wakiangalia kisima kinachotumika kwa ajili ya matumizi katika kijij cha Mtamba mara walipofika kijijini hapo.
 Mmoja wa  mkaazi wa kijiji cha Mtamba  Sauda Ali Bakari akimpatia maelezo mfadhili na  wajumbe  juu ya matumizi ya maji katika kisima hicho mara walipofika kijijini hapo kwa ajili ya ujenzi wa kisima
 Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Zawa Omar Mshindo Bakari akizungumza na wananchi hawapo pichani waliyofika kijijini hapo kwa ajili ya kuwapatia taarifa ya uchimbaji wa kisima katka eneo hilo.
Mfadhili wa uchimbaji  kisima Kampuni ya Ivode Carneri Foondation  Yahaya Mohammed  Al-sawaty   na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Zawa Omara Mshindo Bakari  wakiwa katika picha ya pamoja na wananchi wa kijiji cha Mtamba baada ya kuzungumna nao kuhusa na Uchimbaji wa kisima kijijini hapo.
                  Picha na Miza Othman-Maelezo Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.