Habari za Punde

Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Bi. Tabia Azungumza na Viongozi wa UVCCM Pemba.

Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Bi.Tabia Maulid Mwita, akifunguwa Kongamano la Umoja wa Vijana (UVCCM) Mkoa wa Kusini Pemba  lampongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Dk, Ali Moh'd Shein, kwa kutimiza miaka 9 ya uongozi wake , lililofanyika katika ukumbi wa Kiwanda cha mafuta ya Makonyo Wawi Pemba.
Mbunge wa Viti maalumu UVCCM Mkoa wa Kusini Pemba,Mhe. Munira Mustafa Khatib, akizungumza na Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Mkowa huo  katika Kongamoano la kumpongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk, Ali Moh'd Shein, katika kutimiza miaka 9 ya Uongozi wake  wa awamu ya saba, lililo fanyika katika ukumbi wa kiwanda cha mafuta ya Makonyo Wawi Pemba. 
Baadhi ya Watendaji wa Serikali Mkoa wa Kusini Pemba, wakiwa katika Kongamano la UVCCM, la kumpongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi , Dk, Ali Moh'd Shein, kutimiza miaka 9 ya Uongozi wake lililofanyika katika ukumbi wa Kiwanda cha mafuta ya Makonyo Wawi Pemba.
Baadhi ya Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Kusini Pemba, wakiwa katika Kongamano la kumpongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk, Ali Moh'd Shein, kutimiza miaka 9 ya Uongozi wake lililofanyika katika ukumbi wa kiwanda cha mafuta ya Makonyo Wawi Pemba. 

Mbunge wa viti maalumu  wa UVCCM, Mkoa wa Kusini Pemba, Munira  Mustafa Khatib,akiwa juu ya moja ya Piki piki zilizotolewa na Rais wa Zanzibar  na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi , Dk, Ali Moh'd Shein, baada ya
kukabidhiwa huko katika ukumbi wa Kiwanda cha Mafuta ya Makonyo  Wawi Pemba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.