Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akimuapisha Balozi Ali Jabir Mwadini kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Saud Arabia
, Hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino jijini Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Balozi
Maj. Jenerali Anselm Shigongo Bahati kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Misri,
Hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino jijini Dodoma. Novemba 23, 2019
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akimuapisha Balozi Mohamed Abdallah Mtonga kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Abu
dhabi (UAE) , Hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino jijini Dodoma.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akimuapisha Balozi Dkt. Jilly Elibariki Maleko kuwa Balozi wa Tanzania Nchini
Burundi , Hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino jijini Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Balozi Jestas Abouk Nyamanga
kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Ubelgiji , Hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino
jijini Dodoma.
Mabalozi
wapya watia sahihi hati za kiapo cha Maadili kwa Watumishi wa Umma
kilichoongozwa na kamshna wa Tume ya Maadili Jaji Mstaafu Harold Nsekela mara
baada kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John
Pombe Magufuli . Hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino jijini Dodoma.
Mabalozi
wapya wakila kiapo cha Maadili kwa Watumishi wa Umma kilichoongozwa na kamshna
wa Tume ya Maadili Jaji Mstaafu Harold Nsekela mara baada kuapishwa na Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli . Hafla
iliyofanyika Ikulu Chamwino jijini Dodoma
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza mara baada kuwapisha Mabalozi watano walioapishwa kuiwakilisha
Tanzania katika Nchi za Burundi, Abu Dhabi (UAE) ,Ubelgiji, Misri pamoja na
Saud Arabia katika hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino jijini Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya kumbukumbu na Waziri
Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa , Katibu Mkuu Kiongozi Balozi wa John Kijazi, Waziri
wa Mambo ya nje Profesa Palamagamba Kabudi ,Waziri wa TAMISEMI Seleman Jaffo,
Waziri wa Ardhi William Lukuvi, Waziri wa Ulinzi Dkt. Hussein Mwinyi wakwanza kushoto pamoja na Mabalozi wapya mara baada ya tukio la uapisho Ikulu chamwino jijini
Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwagawia Vitafunwa wageni mbalimbali
waliohudhuria hafla ya Uapisho ya Mabalozi iliyofanyika Ikulu Chamwino jijini
Dodoma. Novemba 23, 2019.
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment