MKE
wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akikabidhiwa baadhi ya Vifaa vya Afya
kwa Ajili hya Nyumba za Wazee za Welezo na Sebleni na Mke wa Mdogo wa Jamuhri
ya Watu wa China Anayefanyia Kazi zake Zanzibar.Bi. Liu Jie, wakati wa hafla
hiyo ya Uzinduzi wa Huduma ya Upimaji wa Afya kwa Wazee wa Nyumba ya Sebleni na
Welezo, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa makaazi yua Wazee Sebleni Wilaya
ya Mjiniu Unguja, kushoto Waziri wa Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto
Zanzibar.Mhe. Maudline Castico
MKE
wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akihutubia wakati hafla ya Uzinduzi
wa Huduma ya Upimaji wa Afya kwa Wazee wa Nyumba za Wazee Sebleni na Welezo
Zanzibar,huduma hiyo imetolewa na Madaktari Bingwa wa Kichina, hafla hiyo
imefanyika katika ukumbi wa Nyumba za Wazee Sebleni Wilaya ya Mjini
Unguja.kushoto Waziri wa Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto
Zanzibar.Mhe.Maudline Castico, Katibu Mkuu Wizara ya Kazi Uwezeshaji wa Wazee,
Wanawake na Watoto Zanzibar.Bi. Fatma Gharib Bilal, Naibyu Waziri.Mhe.Shadya
Mohammed na Mkuu wa Wilaya ya Mjini.Bi.Marine Thomas Joe.
WAZEE
wa Nyumba ya Wazee Sebleni na Welezo Zanzibar wakimsikiliza Mke wa Rais wa
Zanzibar.Mama Mwanamwema Shein, akihutubia na kuzindua Huduma ya Upimaji wa
Afya kwa Wazee inayotolewa na Madaktari Bingwa wa Kichina katika ukumbi wa
Sebleni kwa Wazee
MADAKTARI
Bingwa kutoka Jamuhri ya Watu wa China, wakitowa huduma ya upimaji wa Afya kwa
Wazee wa Nyumba za Wazee Sebleni na Welezo Zanzibar, wakati wa hafla hiyo,
kushoto Dr,Qi.Ming akitowa huma ya upimaji wa presha kwa.Bwa.James Ngagu na
kulia Dr.Qiu Honghe akitowa huduma hiyto kwa Bi. Pili Maig, baada ya Uzinduzi
huo uliofanywa na Mke wa Rais wa Zanzibar.Mama Mwanamwema Shein (hayupo
pichani) iliofanyuika katika ukumbi wa Wazee Sebleni Wilaya ya Mjini Unguja
MKE
wa Balozi Mdogo wa Jamuhri ya Watu wa China Zanzibar.Bi.Liu Jie akizungumza
wakati wa hafla hiyo ya Uzinduzi wa Huduma ya Upimaji wa Afya kwa Wazee wa
Sebleni na Walezo Zanzibar, iliofanyika katika ukumbi wa nyumba za wazee
sebleni na Madaktari wa Jamuhuri ya Watu wa China
No comments:
Post a Comment