Moja ya Skuli za Sekondari za Kisasa zilizojengwa katika maeneo mbalimbali ya Zanzibar na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar moja wapo ni hili la Kibuteni Mkoa wa Kusini Unguja likiwa katika hatua za mwisho za ujenzi wake na kutowa huduma ya Elimu ya Sekondari kwa Watoto wa Mkoa wa Kusini Unguja.
Vodacom Tanzania kupitia VTV yazindua filamu ya “NIKO SAWA” inayochochea
mazungumzo muhimu kuhusu afya ya akili
-
Vodacom Tanzania PLC imetangaza uzinduzi wa filamu ya “NIKO SAWA”, filamu
ya kipekee ya Kitanzania inayopatikanaw kupitia VTV, programu
inayokuwezesha ku...
48 minutes ago
Watasoma wanafunzi wa darasa la ngap watakao soma????
ReplyDelete