Moja ya Skuli za Sekondari za Kisasa zilizojengwa katika maeneo mbalimbali ya Zanzibar na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar moja wapo ni hili la Kibuteni Mkoa wa Kusini Unguja likiwa katika hatua za mwisho za ujenzi wake na kutowa huduma ya Elimu ya Sekondari kwa Watoto wa Mkoa wa Kusini Unguja.
NEWTA YAZINDULIWA DAR, KULETA MAGEUZI SEKTA YA UJENZI
-
Makamu wa Rais wa Huaxin Group (mwenye koti) Wang Jiajun akiongoza
watendaji wengine katika uzinduzi rasmi wa cement mpya ya Newta Jijini Dar
es Salaam
...
36 minutes ago
Watasoma wanafunzi wa darasa la ngap watakao soma????
ReplyDelete