Moja ya Skuli za Sekondari za Kisasa zilizojengwa katika maeneo mbalimbali ya Zanzibar na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar moja wapo ni hili la Kibuteni Mkoa wa Kusini Unguja likiwa katika hatua za mwisho za ujenzi wake na kutowa huduma ya Elimu ya Sekondari kwa Watoto wa Mkoa wa Kusini Unguja.
MEDWELL YAFANYA UPASUAJI WA MTOTO WA JICHO KWA WAGONJWA 2,000 BURE
-
* Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha*
*KITUO cha afya MEDWELL kilichopo Halmashauri ya mji Kibaha, mkoaniPwani
kimetoa huduma bure za upasuaji wa mtoto wa ...
46 minutes ago
Watasoma wanafunzi wa darasa la ngap watakao soma????
ReplyDelete