Moja ya Skuli za Sekondari za Kisasa zilizojengwa katika maeneo mbalimbali ya Zanzibar na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar moja wapo ni hili la Kibuteni Mkoa wa Kusini Unguja likiwa katika hatua za mwisho za ujenzi wake na kutowa huduma ya Elimu ya Sekondari kwa Watoto wa Mkoa wa Kusini Unguja.
TANZANIA KUNUFAIKA NA PROGRAM YA BENKI YA DUNIA YA KUENDELEZA KILIMO
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba
(kushoto),akiagana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Dunia, anayesimamia
Kundi la Kwanza la nc...
1 hour ago
Watasoma wanafunzi wa darasa la ngap watakao soma????
ReplyDelete