Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa akijibu maswali Bungeni jijini Dodoma, Januari 30, 2020.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum, Zainab Katimba kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma,
Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa wakiwa katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma leo na (kushoto) Mbunge kupitia Baraza la Wawakilishi Mhe Jaku Ayoub Ismail
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment