Upanuzi wa Barabara ya Morocco – Mwenge ukiendelea
kwa kasi katika eneo la Sayansi na Bamaga pamoja na Barabara ya
Shekilango-Bamaga inayojengwa pia kwa njia nne kama inavyoonekana pichani.
Sehemu
ya Mitaa ya Mwananyamala Bwawani ambayo barabara zake zimejengwa kwa Zege na
kuondoa kero ya miaka mingi ya barabara hizo za mitaa.
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment