RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwasili katika Kituo cha Kujiandikisha Wupiga
Kura Skuli ya Msingi Bungi Wilaya ya Kati Unguja kwa kuhakiki taarifa zake katika Daftari la
Kudumu la Wapiga Kura Zanzibar, (kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja
Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud. Hafla hiyo imefanyika leo 29-2-2020
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akiwa katika foleni akisubiri zamu yake
katika zoezi la Uhakiki wa taariza zake katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura
Zanzibar, katika Kituo cha Kujiandikisha Wapiga Kura Skuli ya Msingi Bungi
Wilaya ya Kati Unguja leo, 29-2-2020, (kulia kwa Rais) Mwenyekiti wa Tume ya
Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Mhe Jaji.Hamid Mahmoud na Mkurugenzi wa Tume ya
Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Ndg
Thabit Idarous Faina
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akimpa Kiatambulisho cha Kura Mkuu wa Kituo cha Kujiandikisha Wapinga Kura Skuli ya Msingi Kibeli Wilaya ya Kati Unguja Mkoa wa Kusini, Bi. Salma Abdull Mussa, kwa ajili ya kuhakikiwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akihakiki Taarifa zake katika Daftari la
Kudumu la Wapiga Kura Zanzibar, na Afisa wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Ndg.
Salum Abdulrahaman Nadhif, alipofika Kituo Kujiandikisha Wapiga Kura Skuli ya
Msingi Bungi Wilaya ya Kati Unguja leo 29-2-2020, (kulia kwa Rais) Mke wa Rais
wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akikabidhiwa risiti na Afisa wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar
(ZEC) Ndg. Salum. Abdulrahaman Nadhif, baada ya kumaliza kuhakiki taarifa zake katika
Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Zanzibar , katika Kituo cha Kujiandikisha
Wapiga Kura Skuli ya Msingi Bungi Wilaya ya Kati Unguja leo, 29-2-2020.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika Kituo cha Kuandikisha Wapiga
Kura Skuli ya Msingi Bungi Wilaya ya Kati Unguja , akisuburi Kitambulisho chake
cha mpiga kura baada ya kuhakikiwa na Mkuu wa Kituo cha Kijiandikisha Wapiga
Kura Skuli ya Msingi Bungi Wilaya ya Kati Unguja.Bi.Salma Abdulla Mussa
MKE wa Rais wa
Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akihakiki taarifa zake kwenye Daftari la Kudumu
la Wapiga Kura Kituo cha Kujiandikisha Wapiga Kura Skuli ya Msingi Bungi Wilaya
Kati Unguja leo. 29-2-2020.
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein
akihakiki Taarifa zake katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Zanzibar, alipofika kuhakiki taarifa zake
katika Kituo cha Kujiandikisha Wapiga Kura Skuli ya Msingi Bungi Wilaya ya Kati
Unguja leo, akifanyika uhakiki na Afisa wa (ZEC) Bi. Mwashamba Rashid Abuu.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akitoka katika Kituo cha Kujiandikisha
Wapiga Kura Skuli ya Msingi Bungi Wilaya ya Kati Unguja baada ya kuhakiki taarifa
zake katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Waandishi wa Habari wa
vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar, baada ya kuhakiki taarifa zake katika
Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Zanzibar, katika Kituo cha kujiandisha Wapiga
Kura Skuli ya Msingi Bungi Wilaya ya Kati Unguja leo,29-2-2020, (kulia kwa Rais ) Mwenyekiti
wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar(ZEC) Mhe. Jaji. Hamid Mahmoud na (kushoto kwa
Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja. Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud
No comments:
Post a Comment