Mshambuliaji wa Timu ya Uzi City mwenye mpira Abdul Warith akiwapita mabeki wa Timu ya Kajengwa (kulia) Aseed Abdalla na (kushoto)Abra Abdalla wakati wa mchezo wa ufunguzi wa Michuano ya Yamleyamle ZBC 2020 mchezo wa Ngao ya Hisani uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar.Timu ya Kajengwa imeshinda mchezo huo kwa bao.3-1.
Mshambuliaji wa Timu ya Uzi City Abdul Warith akimpita beki wa Timu ya Kajengwa Aseed Abdalla wakati wa mchezo wa ufunguzi kuwania Ngao ya Hisani ya Yamleyamle ZBC 2020, mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar. Timu ya Kajengwa imeibuka mshinda na kukabidhiwa Ngao ya Hisani kwa ushindi wa bao 3 -1.
Mchezaji wa Uzi City na Kajengwa wakiwania mpira ukiwa juu wakati wa mchezo wao wa Ngao ya Hisani ya ufunguzi wa michuano ya Yamleyamle ZBC 2020, mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar Timu ya Kajengwa imeibuka mshindi kwa bao 3-1.
No comments:
Post a Comment