Wasanii kutoka Ghana na UK wa Kikundi cha ONIPA wakitowa burudani katika viwanja vya Bustani ya Forodhani Jijini Zanzibar wakati wa onesho la Tamasha la Sauti za Busara Zanzibar, lililofanyika wiki iliopita Visiwani Zanzibar.
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
32 minutes ago
No comments:
Post a Comment