Ndugu Waandishi wa Habari na
wananchi kwa ujumla, Mkutano wa Kumi na Tisa wa Baraza la Tisa la Wawakilishi unatarajiwa
kuanza kesho Jumatano ya tarehe 06 Mei,
2020, saa 3:00 asubuhi.
Shughuli
za Mkutano huo zitakuwa kama ifuatavyo:-
1.
Majadiliano
ya Bajeti ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa mwaka wa fedha 2020/2021.
2.
Miswada
ya Sheria
Miswada
miwili ya Sheria itawasilishwa na kujadiliwa, Miswada yenyewe ni:-
i)
Mswada wa Sheria ya Fedha (Finance
Bill)
ii)
Mswada wa Sheria ya Kuidhinisha
Matumizi ya Serikali kwa Mwaka 2020/2021.
Ratiba ya Awali ya ya Mkutano huu ni kama ifuatavyo:-
TAREHE
|
TUKIO/WIZARA
|
06/05/2020
- 07/05/2020
|
Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais
|
07/05/2020
- 08/05/2020
|
Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi
|
11/05/2020
- 12/05/2020
|
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa
na Idara Maalum za SMZ
|
13/05/2020
- 14/05/2020
|
Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora
|
14/05/2020 -
15/05/2020
|
Wizara ya Katiba na Sheria
|
18/05/2020
- 19/05/2020
|
Wizara ya Habari, Utalii, na Mambo ya Kale
|
19/05/2020
- 20/05/2020
|
Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Wanawake na
Watoto
|
21/05/2020
- 22/05/2020
|
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali
|
25/05/2020
- 26/05/2020
|
Sikukuu ya Eid el Fitri
|
27/05/2020
- 28/05/2020
|
Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi
|
28/05/2020
- 29/06/2020
|
Wizara ya Biashara na Viwanda
|
01/06/2020
- 02/06/2020
|
Wizara ya Vijana, Utamaduni, Sanaa na Michezo
|
02/06/2020 -
03/06/2020
|
Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji
|
04/06/2020
- 05/06/2020
|
Wizara ya Afya
|
08/06/2020
- 09/06/2020
|
Wizara ya Ardhi, Nyumba, Maji na Nishati
|
09/06/2020
- 10/06/2020
|
Wizara ya Fedha na Mipango
|
11/06/2020
- 12/06/2020
|
Majumuisho ya Mijadala ya Bajeti za Wizara zote
baina ya Serikali na Kamati ya Bajeti
|
15/06/2020
Saa 3.00 Asubuhi
|
Hotuba
ya Mpango wa Maendeleo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar 2020/2021
|
Saa
5.00 Asubuhi
|
Hotuba
ya Kamati ya Bajeti Kuhusu Majumuisho ya Mjadala ya Bajeti za Wizara za SMZ
|
Saa
6.00 Mchana
|
Hotuba
ya Bajeti ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar 2020/2021
|
16/06/2020, 17/06/2020 - 18/06/2020
|
Mjadala wa Hotuba ya Mpango wa Maendeleo wa SMZ
2020/2021 na Hotuba ya Bajeti ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar 2020/2021
|
19/06/2020
|
Mswada wa Sheria ya Matumizi (Appropriation
Bill)
Mswada wa Sheria ya Fedha (Finance Bill)
|
Hata hivyo , Mazingira ya majadiliano ndani ya
Baraza yanaweza kuifanya Ratiba hii isifuatwe kwa ukamilifu.
TANBIHI
Ndugu
Wananchi/ Waandishi wa Habari
Kama
tunavyofahamu , Mkutano huu unafanyika wakati ambao nchi yetu na ulimwengu kwa
ujumla tupo katika janga kubwa la ugonjwa wa CORONA. Hivyo, katika kuendesha Mkutano huu kwa
mazingira yaliyopo, Baraza la Wawakilishi linaendelea kuchukua tahadhari mbali
mbali kwa kutambua umuhimu wa kujikinga na maambukizi ya maradhi ya CORONA.
Miongoni
mwa hatua ambazo Baraza la Wawakilishi
linaendelea kuchukua ni pamoja na zifuatazo :-
a)
Kupunguza Muda wa Vikao
b)
Kurekebisha ukaaji wa Wajumbe kwa
kuacha nafasi kuanzia mita Moja baina ya
Mjumbe na Mjumbe
c)
Kuweka Vifaa vya
kuoshea Mikono katika Maeneo yote ya Baraza
d)
Kuweka Vifaa vya kupima joto na
kuwapima Waheshimiwa Wajumbe na Wafanyakazi na maafisa wote watakaohudhuria katika vikao hivyo.
e)
Kuruhusu maafisa wachache sana kutoka Mawizarani watakaohusika moja kwa moja na hoja
inayojadiliwa
f)
Hakutakuwana wageni ikiwemo wanafunzi
au wananchi wanaotembelea Baraza kwa ajili ya kuangalia shughuli za Baraza au
kujifunza.
g)
Kutoruhusi mtu yeyote kukaa katika
mazingira ya nje ya ofisi za Baraza.
Ahsante.
(Raya Issa
Msellem)
KATIBU
BARAZA LA
WAWAKILISHI
ZANZIBAR
Mei 5 , 2020
No comments:
Post a Comment