Habari za Punde

Tume ya Uchaguzi imekutana vyama vya siasa na kujadili na kupitisha kanuni na maadili kwa uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani 2020

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage, akiendesha Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2020, Mkutano ambao umefanyika 27, Mei 2020, JNICC Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera, akizungumza katika Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa  Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2020, Mkutano ambao umefanyika katika ukumbi wa JNICC Jijini Dar es Salaam. 
Katibu Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndugu. Humphrey Polepole akichangia hoja katika  Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa  Rais, Wabunge na Madiwani wa  Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2020, Mkutano ambao umefanyika katika ukumbi wa JNICC Jijini Dar es Salaam.
Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Mstaafu.Francis Mutungi akifuatilia Mkutano wa NEC na  Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na Maadili ya Uchaguzi Mkuu  wa  Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2020, Mkutano ambao umefanyika loe 27, Mei 2020, JNICC Jijini Dar es Salaam.

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika  akichangia hoja katika  Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa  Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2020, Mkutano ambao umefanyika loe 27, Mei 2020, JNICC Jijini Dar es Salaam.

Picha na Idara ya Habari-MAELEZO.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.