Habari za Punde

Kada wa Chama Cha Mapinduzi Mtoto wa Lowasa Achukua Fomu ya Kuwania Kuteuliwa Ubunge CCM

Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Monduli Ndg. Langael Akyoo akimkabidhi Fomu ya Kuwania kuteuliwa na CCM Ubunge wa Jimbo la Monduli Mtoto wa Lowassa Fredirick Lowassa, alipofika Ofisi za CCM Wilaya kuomba ridhaa ya kuteuliwa na kupeperusha Bendera ya CCM katika Ubunge.
Mtia nia Kugombea Ubunge Jimbo la Monduli Mtoto wa Lowassa Ndg. Fredick Lowassa akisaini daftari wa kuchukua fomu wagombea Ubunge kupitia CCM alipofika Ofisi za CCM Wilaya ya Monduli kwa ajiuli ya kuchukua fomu lao  kuwania nafasi hiyo kupitia Chama Cha Mapinduzi. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.