Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dk.Wilson Mahera Charles akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dodoma jana kuhusiana na baadhi ya vyombo vya Habari kuingilia majukumu ya Tume kwa kuanza kutangaza matokeo ya uteuzi kwa nafasi za Ubunge na Udiwani kinyume na Sheria Jambo ambalo linaweza kusababisha uvunjifu wa amani. (Picha na NEC).
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan ahutubia
wananchi wa majimbo ya Ilala, Segerea, Kivule na Ukonga katika uwanja wa
Kecha Kinyerezi Jijini Dar es Salaam
-
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan
akizungumza ...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment