Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dk.Wilson Mahera Charles akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dodoma jana kuhusiana na baadhi ya vyombo vya Habari kuingilia majukumu ya Tume kwa kuanza kutangaza matokeo ya uteuzi kwa nafasi za Ubunge na Udiwani kinyume na Sheria Jambo ambalo linaweza kusababisha uvunjifu wa amani. (Picha na NEC).
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment