Habari za Punde

CUF Wazindua Mkutano wa Kampeni Kisiwani Pemba Uwanja wa Tibirinzi Chakechake.

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Wananchi (CUF ), Profesa Ibrahim Harouna Lipumba akimtambulia Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CUF Ndg. Mussa Haji Kombo, wakati wa mkutano wa ufunguzi kampeni uliofanyika katika uwanja wa Michezo Tibirinzi Chake Chake Pemba
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Wananchi (CUF)  Profesa Ibrahim Harouna Lipumba akimkabidhi Ilani ya Uchaguzi ya CUF, Mgombea Urais wa Zanzibar Ndg. Mussa Haji Kombo, wakati wa ufunguzi wa kampeni za chama hicho zilizofanyika uwanja wa Michezo Tibirinzi Chake Chake Pemba.
MGOMBEA Urasi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha CUF, Profesa Ibrahim Harouna Lipumba akizungumza na wananchi wa Mikoa miwili ya Pemba, wakati wa ufunguzi wa kamapeni za chama hicho zilizofanyika uwanja wa michezo Tibirinzi Chake Chake Pemba
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Wananchi (CUF) Ndg. Mussa Haji Kombo, akiwahutubia wananchi na wanachama wa chama hicho Kisiwani Pemba, wakati wa ufunguzi wa kampeni wa chama hicho zilizofanyika uwanja wa Michezo Tibirinzi Chake Chake  Pemba


 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.