Habari za Punde

MAJALIWA AHUTUBIA MKUTANO WA KAMPENI - KONDOA

Wananchi wa Kondoa, wakimsikiliza, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM  Taifa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, wakati alipowahutubia wananchi hao, katika mkutano wa kampeni, Septemba 13, 2020. 
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM  Taifa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwahutubia wananchi wa Kondoa, katika mkutano wa kampeni,
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi   nakala ya Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020-2025 mgombea ubunge wa CCM wa jimbo la Kondoa Mjini, Makoa Ally Juma, katika mkutano wa kampeni,
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi   nakala ya Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020-2025 mgombea ubunge wa CCM wa jimbo la Kondoa, Dkt. Ashatu Kijaji, katika mkutano wa kampeni, 
Wananchi wa Kondoa, wakimsikiliza, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM  Taifa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, wakati alipowahutubia wananchi hao, katika mkutano wa kampeni, Septemba 13, 2020.
 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)    

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.