Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akihutubia wakati wa hafla ya Chakula Maalum aliowaandalia Wanafunzi wa Skuli za Sekondari wa Kidatu cha Sita na cha Nne kwa kufanya vizuri Mitihani yao ya Taifa kwa mwaka 2019/2020, na kuwazawadia zawani wanafunzi hao hafla iliofanyika katika Viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar.
VIJIJI 11,837 VIMEUNGANISHWA NA UMEME –DKT. BITEKO
-
Serikali imesema hadi kufikia Mwezi, Machi 2024 jumla ya vijiji 11,837 sawa
na asilimia 96.37 ya vijiji vyote 12,318 vya Tanzania Bara vilikuwa
vimeungan...
1 hour ago
Tunaomba muzipost picha nyengine
ReplyDeleteTunaomba mutume picha zato za wanafunzi ma mh.rais
ReplyDeleteTunaomba picha zote za wanafunzi
ReplyDelete