Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akihutubia wakati wa hafla ya Chakula Maalum aliowaandalia Wanafunzi wa Skuli za Sekondari wa Kidatu cha Sita na cha Nne kwa kufanya vizuri Mitihani yao ya Taifa kwa mwaka 2019/2020, na kuwazawadia zawani wanafunzi hao hafla iliofanyika katika Viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar.
Bima ya AfyaPass kutoka VodaBima Yarahisisha Upatikanaji wa Huduma za Afya
-
Mwamko mdogo wa Watanzania kuhusu bima ya afya ni mojawapo ya changamoto
katika kutoa huduma bora za afya kwa wote kutokana na idadi ndogo ya
Watanzania we...
1 hour ago
Tunaomba muzipost picha nyengine
ReplyDeleteTunaomba mutume picha zato za wanafunzi ma mh.rais
ReplyDeleteTunaomba picha zote za wanafunzi
ReplyDelete