MBUNGE wa Jimbo la
Kiwani Wilaya ya Mkoani Rashid Abdalla Rashid kushoto akimkabidhi ufunguo wa
gari ya kuwabeba wagonjwa ya jimbo hilo, katibu wa CCM mkoa wa Kusini Pemba
Mohamed Ali Khalfa, ikiwa ni miongoni mwa ahadi alizozitoa kwa wananchi wajimbo
hilo wakati wa kuomba kura.
KATIBU wa Chama Cha
Mapinduzi Mkoa wa Kusini Pemba Mohamed Ali Khalfan, akiendesha gari ya kubebea
wagonjwa mara baada ya kukabidhiwa na Mbunge wa Jimbo la Kiwani, ili kutoa huduma
kwa wananchi wa jimbo hilo.
MBUNGE wa Jimbo la
Kiwani Kushoto Rashid Abdalla Rashd, akiangalia gari ya kubebea wagonjwa wa
jimbo hilo wakati ikijaribiwa kwa mara ya kwanza baada ya kukabidhiwa kwa
uongozi wa jimbo hilo.
KATIBU wa CCM Mkoa wa Kusini Pemba Ndg.Mohamed Ali Khalfan, akimkabidhi ufunguo wa gari ya kubebea wagonjwa Mwenyekiti wa Jimbo la Kiwani Omar Juma Kheri, gari hiyo iliyotolewa na mbunge wa jimbo hilo.
(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment