Habari za Punde

Idara ya Habari maelezo washiriki usafi wa Mazingira

Baadhi ya wafanyakazi wa  Idara ya Habari Maelezo Zanzibar wakitekeleza  agizo la Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar la usafi wa mazingira ikiwa ni miongoni mwa shamrashamra za miaka 57 ya Mapinduzi Hafla iliyofanyika Idara ya Habari maelezo Rahaleo Zanzibar.
Kaimu Mkurugunzi Idara ya Habari Maelezo Zanzibar Omar Said  akishirikiana na watendaji wa Idara hiyo katika kutekeleza agizo la Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar la usafi wa mazingira  ikiwa ni miongoni mwa shamrashamra za miaka 57 ya Mapinduzi Hafla iliyofanyika Idara ya Habari maelezo Rahaleo Zanzibar.

Baadhi ya wafanyakazi wa  Idara ya Habari Maelezo Zanzibar wakitekeleza  agizo la Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar la usafi wa mazingira ikiwa ni miongoni mwa shamrashamra za miaka 57 ya Mapinduzi Hafla iliyofanyika Idara ya Habari maelezo Rahaleo Zanzibar.

PICHA NA YUSSUF SIMAI /MAELEZO ZANZIBAR.

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.