Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Khamis (wapili kushoto), akiwasili eneo la Kikombo lililopo jijini Dodoma ambako kunajengwa nyumba nane za ghorofa zinazoonekana pichani ambazo gharama ya mradi huo ni Bilioni Tano huku tayari Rais John Magufuli amechangia Shilingi Bilioni Tano, nyumba hizo zinatarajiwa kuhifadhi familia .Wakwanza kushoto ni Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jesshi la Zimamoto,Mhandisi Julius Ntambala
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Khamis (katikati), akikagua ubora wa sakafu alipotembelea Mradi wa Nyumba nane za ghorofa ambazo gharama ya mradi huo ni Bilioni Sita huku tayari Rais John Magufuli amechangia Shilingi Bilioni Tano, nyumba hizo zilizopo eneo la Kikombo, jijini Dodoma zinatarajiwa kuhifadhi jumla ya familia themanini za askari
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Khamis Hamza Khamis(aliyenyoosha kidole ,akiuliza maswali wakati alipotembela Mradi wa Nyumba nane za ghorofa ambazo gharama ya mradi huo ni Bilioni Sita huku tayari Rais John Magufuli amechangia Shilingi Bilioni Tano, nyumba hizo zinatarajiwa kuhifadhi jumla ya familia themanini za askari.
Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
No comments:
Post a Comment