Habari za Punde

Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum za Serikali ya Mapinduzi amewasimamisha kazi Mkurugenzi wa Manispaa ya Mjini na Mkurugenzi wa Manispaa Magharibi "A" kupisha uchunguzi


 Waziri wa nchi, Afisi Ya Rais, Tawala za Mikoa na Idara Maalum za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe Masoud Ali Mohammed amewasimamisha kazi Mkurugenzi wa Manispaa ya Mjini, Bw Said Ahmada Juma na Mkurugenzi wa Manispaa magharibi "A"  Nd. Amour Ali Mussa na kuagiza kuanza kwa taratibu za uchunguzi juu ya tuhuma mbalimbali ikiwemo ubadhirifu wa fedha za mali ya Umma.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.