Waziri wa nchi, Afisi Ya Rais, Tawala za Mikoa na Idara Maalum za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe Masoud Ali Mohammed amewasimamisha kazi Mkurugenzi wa Manispaa ya Mjini, Bw Said Ahmada Juma na Mkurugenzi wa Manispaa magharibi "A" Nd. Amour Ali Mussa na kuagiza kuanza kwa taratibu za uchunguzi juu ya tuhuma mbalimbali ikiwemo ubadhirifu wa fedha za mali ya Umma.
NAMELOCK ALIVYOPOKEWA KWA KISHINDO MONDULI,AMSHUKURU RAIS SAMIA KWA HESHIMA
KUBWA YA KUUNYANYUA MKOA WA ARUSHA
-
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa,Ndugu Namelock Edward
Sokoine, amepokelewa kwa hamasa,nderemo, vifijo na umati wa Wananchi leo
Juma...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment