Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi Ajumuika na Waumini wa Kiislam Katika Sala ya Ijumaa Iliyofanyika Msikiti wa Miembeni Jijini Zanzibar leo

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi  akisikiliza Hutuba ya Sala ya Ijumaa ikitowa na Sheikh Khalid Ali Mfaume Katibu wa Mufti Mkuu wa Zanzibar,(hayupo pichani)  ikisomwa kabla ya Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Msikiti wa Miembezi Jijini Zanzibar na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrisa Mustafa Kitwana.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwasalimiana na kuzungumza na Waumini wa Kiislam baada ya kumaliza kwa Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Msikiti wa Miembeni Jijini Zanzibar.
WAUMINI wa Dini ya Kiislam wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akiwasalimia na kuzungumza nao baada ya kumalizika kwa  Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Msikiti wa Miembeni Jijini Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua iliyosomwa na Katibu wa Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khalid Ali Mfaume, baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Msikiti wa Miembeni na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrisa Mustafa Kitwana.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Waumini baada ya kumaliza kwa Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Msikiti wa Miembeni Jijini Zanzibar .
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Waumini baada ya kumaliza kwa Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Msikiti wa Miembeni Jijini Zanzibar. 
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.