Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akihutubia mkutano wa Hadhara Wananchi wa Uwanja wa Shule ya Msingi Mazoezi Korogwe Mkoani Tanga leo March 15,2021, Makamu wa Rais ameanza ziara ya kikazi ya siku 5 Mkoani Tanga kutembelea na kukagua Miradi mbalimbali ya Maendeleo ya Wananchi Mkoani humo. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
TISA KATI YA 21 WALIOKAMATWA KWA KUJIHUSISHA NA DAWA ZA KULEVYA WAFIKISHWA
MAHAKAMANI.
-
Na Mwandishi wetu.
MAHAKAMA ya Rufani leo imeshindwa kuendelea na usikilizwaji wa shauri la
rufaa lililokatwa na Benki ya Equity Bank Tanzania Limited na E...
18 minutes ago
No comments:
Post a Comment