RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mtoto wa Marehemu Dkt. Idrisa Ahmada Khamis. Dkt. Said Idrisa Ahmad alipofika nyumbani kwa marehemu Mombasa Wilaya ya Mjini Unguja kutowa mkono wa pole kwa Familia ya Marehemu na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Wilaya ya Mjini Unguja Ndg. Rashid Simai Msaraka.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi akitowa mkono wa Pole kwa Familia ya Marehemu Dkt.Idrisa Ahmada Khamis alipofika nyumbani kwa marehemu Mombasa Wilaya ya Mjini Unguja na (kulia kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua na wanafamilia ya marehemu ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi, alipofika kutoka mkono wa pole kwa familia ya Marehemu Dkt.Idrisa Ahmada Khamis Mombasa Wilaya ya Mjini Unguja.(Picha na Ikulu)
Rais Samia apokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali
(CAG) na Taarifa ya Utendaji Kazi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na
Rushwa (TAKUKURU) leo
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka
2022/2...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment