RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mwakilishi wa Mfadhili
wa ujenzi wa Masjid Taqwa Gombani ya Kale Pemba.Bw. Humoud Mohammed alipowasili
katika viwanja vya Msikiti huo kwa ajili ya ufunguzi Msikiti huo.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kwa ajili ya ufunguzi wa
Masjid Taqwa Gombani ya Kale Pemba Wilaya ya Chakechake (kulia kwa Rais)
Mwakilishi wa Mfadhili wa Ujenzi wa Msikiti huo Bw. Humoud Mohammed na Naibu
Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Mahmoud Mussa Wadi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kwa ajili ya ufunguzi wa
Masjid Taqwa Gombani ya Kale Pemba Wilaya ya Chakechake (kulia kwa Rais)
Mwakilishi wa Mfadhili wa Ujenzi wa Msikiti huo Bw. Humoud Mohammed na Naibu
Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Mahmoud Mussa Wadi
MUFTI Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi
akizungumza katika hafla ya Ufunguzi wa Masjid Taqwa Gombani ya Kale kabla
kumkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Alhajj Dk.
Hussein Ali Mwinyi kuzungumza na Wananchi na Waumini wa Kiislam katika hafla
hiyo
WAUMINI wa Kiislam wakimsikiliza Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein ALI Mwinyi
(hayupo pichani) akizungumza na Waumini baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa
na kuufungua Msikiti wa Masjid Taqwa Gombani ya Kale Wilaya ya Chakechake Pemba
WAUMINI wa Kiislam wakimsikiliza Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein ALI Mwinyi
(hayupo pichani) akizungumza na Waumini baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa
na kuufungua Msikiti wa Masjid Taqwa Gombani ya Kale Wilaya ya Chakechake Pemba
WAUMINI wa Kiislam wakimsikiliza Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein ALI Mwinyi
(hayupo pichani) akizungumza na Waumini baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa
na kuufungua Msikiti wa Masjid Taqwa Gombani ya Kale Wilaya ya Chakechake Pemba
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Viongozi na
Wananchi baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa na ufunguzi wa Msikiti huo wa
Masjid Taqwa Gombani ya Kale Pemba.
No comments:
Post a Comment