Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Isdori Mpango, akifungua Kongamano la miaka 57 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar lililofanyika leo April 26,2021 katika Ukumbi wa Chimwaga Jijini dodoma" Kauli mbiu Muungano wetu ni Msingi Imara wa Mapinduzi ya Uchumi, Tudumishe Mshikamano wetu. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
MARRY CHATANDA :SERIKALI CHINI YA DK SAMIA IMEITEKELEZA VEMA ILANI 2020-2025
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MRATIBU wa Uchaguzi Mkuu Mkoa wa Dar es Salaam Marry Chatanda amesema
Serikali inayoongozwa na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan i...
13 hours ago

No comments:
Post a Comment