BAADHI ya waandishi
wa habari kutoka vyombo mbali mbali vya habari Pemba, wakifuatilia kwa makini
mkutano wa siku moja juu ya Wiki ya Chanjo Afrika mkutano uliofanyika Ukumbi wa
PHL Wawi
MRATIB wa Kitengo cha
Chanjo Pemba Bakar Hamad Bakar, akiwasilisha mada juu ya Historia ya Chanjo
Zanzibar kwa waandishi wa habari, mkutano wa siku moja juu ya Wiki ya Chanjo
Afrika mkutano uliofanyika Ukumbi wa PHL Wawi
MKUU wa Kitengo cha Chanjo Zanzibar Yussuf Haji Makame, akijibu baadhi ya maswali ya waandishi wa habari, juu ya wiki wa Chanjo Afrika mkutano uliofanyika ukumbi wa PHL Wawi
(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment