Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akilakiwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda Mhe Sam Kutesa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Entebbe alipowasili nchini Uganda kwa ziara ya kikazi ya siku moja leo Jumapili Aprili 11, 2021 PICHA NA IKULU
Samaki wa Ziwa Ikimba Kuongezeka Hadi Tani 15 Baada ya Kufungwa Miezi 6
-
Na Diana Byera,Bukoba
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Mifugo na
Uvuvi imelifungua Ziwa Ikimba lililopo Halmashauri ya Buko...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment