RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na
Balozi wa Switzerland Nchini Tanzania Mhe.Didier Chassot, alipowasili katika
ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar kwa ajili ya mazungumzo na kujitambulisha na
(kulia kwake) Afisa wa Ubalozi Bi. Esther Majani
RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na
Balozi wa Switzerland Nchini Tanzania Mhe. Didier Chassot, alipofika Ikulu
Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha, mazungumzo hayo yamefanyika katika
ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Switzerland Nchini Tanzania Mhe. Didier Chassot, baada ya kumaliza mazungumzo yao alipofika kujitambulisha yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na
kuagana na mgeni wake Balozi wa Switzerland Nchini Tanzania Mhe. Didier Chassot,
baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbui wa Ikulu Jijini
Zanzibar alipofika kujitambulisha
No comments:
Post a Comment