RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na baadhi ya Viongozi
alipowasili katika eneo linalotarajiwa kujengwa kwa Bandari ya Kisasa
Mwangapwani Wilaya ya Kaskazibi “B” Unguja, akiwa katika ziara yake kutembelea
eneo hilo leo 18-5-2021
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Katibu Tawala wa Mkoa wa
Kaskazini Unguja Ndg.Makame Machano Haji akitowa maelezo ya eneo la Ujenzi wa Bandari ya Kisasa Mwangapwani
Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja wakati wa ziara yake kutembelea eneo hilo na
(kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud
na (kulia kwa Rais) Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar Mhe.
Rahma Kassim Ali
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara ya
Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar Ndg.Amour Hamil Bakari, akitowa maelezo
ya michoro ya Ramani ya eneo la Ujenzi wa Bandari ya Kisasa katika eneo la
Mwangapwani Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja wakati wa ziara yake kujionea eneo
hilo linalotarajiwa ujenzi huo na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini
Unguja Mhe,Ayoub Mohammed Mahmoud
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bandari Zanzibar Ndg.Nahat Mahfoudh wakati wa ziara yake akipata maelezo michoro ya Ramani ya eneo la Ujenzi wa Bandari ya Kisasa katika eneo la
Mwangapwani Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja wakati wa ziara yake kujionea eneo
hilo linalotarajiwa ujenzi huo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kutaka ufafanuzi, kutoka kwa
Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud,wakati wa ziara
yake kutembelea eneo linalotarajiwa kujengwa Bandari ya Kisasa katika eneo la
Mwangapwani Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja, akiwa katika eneo la Mradi wa
Island Petroleum Group.tayari limejengwa matangi ya mafuta.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza CEO wa Kampuni ya United
Petroleum Ndg.Collins Chemngorem, akiwa katika ziara yake katika eneo
linalotarajiwa ujenzi wa Bandari ya Kisasa Mwangapwani Wilaya ya Kaskazini
“B”Unguja, na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe.Ayoub
Mohammed Mahmoud na (kulia kwa Rais) Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi
Zanzibar Mhe.Rahma Kassim Ali
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Waandishi wa habari wa
vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar.(hawapo pichani) baada ya kumaliza ziara
yake kutembelea eneo la Ujenzi wa Bandari ya Kisasa Mwangapwani Mkoa wa
Kaskazini Unguja
No comments:
Post a Comment