Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Nassor Ahmed Mazrui (kulia) akipokea boksi la vifaa vya usajili kwa ajili ya chanjo ya kipindupindu inayotarajiwa kutolewa kuanzia Julai 3 hadi 7 katika shehia 56 ambazo huathirika na maradhi ya Kipindupindu mara kwa mara, huko Ofisini kwake Mnazimmoja .
Baadhi ya Vifaa walivyokabidhiwa Wizara ya Afya na Mwakilishi Mkaazi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Andemichael Ghirmy kwa ajili ya kusaidia utoaji wa huduma ya Chanjo ya Kipindupindu inayotarajiwa kutolewa kuanzia Julai 3 hadi Julai 7 katika shehia 56 ambazo huathirika na maradhi ya Kipindupindu mara kwa mara Nchini
Mwakilishi Mkaazi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Andemichael Ghirmy (katikati) akitoa ufafanuzi kuhusiana na vifaa mbalimbali alivyovikabidhi kwa Wizara ya Afya ikiwa ni msaada kwa ajili ya Chanjo ya kipindupindu, hafla iliyofanyika Wizara ya Afya Mnazimmoja
WANANCHI WAASWA KUTUMIA NAMBA YA MALIPO WANAPOLIPIA HUDUMA ZA SERIK
-
Afisa Mwandamizi kutoka Idara ya Usimamizi wa Mifumo ya Fedha na TEHAMA wa
Wizara ya Fedha, Bw. Charles Maganga (kulia), akitoa maelezo kuhusu umuhimu
wa...
27 minutes ago
No comments:
Post a Comment