Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba
akiongoza kikao cha Kamati ya Fedha, Uchumi na Biashara ngazi ya mawaziri
chenye wajumbe kutoka Serikali ya Jamhuri ya Muungano (SMT) na Serikali ya
Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ). Mwenyekiti
mwenza katika kikao hicho ni Waziri wa Nchi, Afisi ya Rais, Fedha na Mipango
Mhe. Jamal Kassim Ali. Kikao hicho kimefanyika leo tarehe 03/08/2021 katika
Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Selemani Jafo akifuatilia mjadala katika kikao cha Kamati ya Fedha, Uchumi na Biashara ngazi ya mawaziri kikao hicho kimefanyika leo tarehe 03/08/2021 katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma. Kulia ni Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Emmanuel Mpawe Tutuba.
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Mary Maganga
(katikati), Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Mohammed Khamis Abdulla
(kushoto) na mwakilishi wa Katibu Mkuu Wizara ya Nishati Bw. Haji Janabi
wakifuatilia mjadala katika kikao cha Kamati ya Fedha, Uchumi na Biashara ngazi
ya mawaziri. Kikao hicho kimefanyika leo tarehe 03/08/2021 katika Ukumbi wa
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma.
Baadhi ya Makatibu Wakuu kutoka Serikali ya Mapinduzi
ya Zanzibar wakifuatilia mjadala katika kikao cha Kamati ya Fedha, Uchumi na
Biashara ngazi ya mawaziri kikao hicho kimefanyika leo tarehe 03/08/2021 katika
Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma.
No comments:
Post a Comment