MWENYEKITI wa kikundi cha Riziki Haina Mja cha Mjini
Ole Omar Aminia, akitoa maelezo kwa viongozi Mbali Mbali wa Serikali, akiwemo
katibu Mkuu Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo Zanzibar Fatma Hamad
Rajab na Mkuu wa JKU Zanzibar Kanali Makame Abdalla Daima, juu ya ufanyaji kazi
wa visima vya maji na Green House zilizojengwa na jeshi hilo, kupitia mradi wa
ajira kwa vijana.
KATIBU Mkuu Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na
Michezo Zanzibar Fatma Hamad Rajab, kulia ni mkuu wa JKU Zanzibar kanali Makame
Abdalla Daima, wakizindua zoezi la uvunaji wa Vitunguu Maji katika kikundi cha
Rizi Haina Mja cha mjini Ole, wakati wa ziara ya kukagua changamoto za visima
vya maji na Green House zilizojengwa na JKU.
KATIBU Mkuu Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na
Michezo Zanzibar Fatma Hamad Rajab, kulia ni mkuu wa JKU Zanzibar kanali Makame
Abdalla Daima, katibu Mtendaji baraza la Vijana Zanzibar Salum Issa Ameir,
wakiwa wameshika vitunguu maji baada ya kuzindua, katika kikundi cha Riziki
haina mja cha Mjini Ole, wakati wa ziara ya kukagua changamoto za visima vya
maji na Green House zilizojengwa na JKU.
KATIBU Mkuu wizara ya Habari Vijana Utamaduni na
Michezo Zanzibar Fatma Hamad Rajab, akitoa maelezo juu ya mradi wa ajira kwa
vijana uliohusisha uchimbaji wa Visima na Ujenzi wa Green House Uliofanya na
JKU, hatimae visima hivyo vimeshindwa kutoa maji kama ilivyotarajiwa, katika ziara
hiyo walifuatana na mkuu wa JKU Zanzibar Kanali Makame Abdalla Daima.
KATIBU Mtendaji Baraza la Vijana Zanzibar Salum Issa Ameir, akitoa maelezo kwa Mkuu wa JKU Zanzibar Kanali Makame Abdalla Daima, juu ya malengo ya vijana baada ya kuona wamechimbiwa visima vya maji na Ujenzi wa Green House, jambo ambalo limerudisha nyuma jitihada zao kufuatia visima hivyo viliyojengwa na JKU kutokuwa na Maji.
(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment