Habari za Punde

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt,Philip Mpango Ameshiriki Ibada ya Kumuaga Marehemu Padre Haule.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akiweka saini katika kitabu cha maombolezo ya aliyekuwa Paroko Msadizi wa Parokia ya Mtakatifu Petro Osterbay – Dar es salaam marehemu Padre Paul Haule mara alipofika kanisani hapo kushiriki ibada ya kumuaga.





Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akitoa salamu za rambirambi za serikali kwa waombolezaji waliojitokeza katika ibada ya kumuaga marehemu Padre Paul Haule iliofanyika katika kanisa katoliki Parokia ya Mtakatifu Petro Osterbay.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.