Habari za Punde

Kikao cha Ushirikiano kati ya Wizara ya Ujenzi SMT na Wizara ya Ujenzi SMZ chafanyika Chake Chake Pemba

AFISA Mdhamini Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar, akiwa na watendaji kutoka Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kutoka SMT, wakipitia taarifa mbali mbali za Kikao cha Ushirikiano kati ya Wizara ya Ujenzi SMT na Wizara ya Ujenzi SMZ, kikao kilichofanyika mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

KATIBU Mkuu Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar  Amour Hamil Bakar, akifungua kikao cha Ushirikiano kati ya Sekta ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi SMT na Wizara Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi SMZ, kikao kilichofanyika mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

WATENDAJI kutoka shirika la uwakala wa Meli Tanzania TASAC, wakifuatilia kwa makini kikao cha mashauriano kati ya Sekta ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi SMT na Wizara Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi SMZ, kikao kilichofanyika mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

WATENDAJI kutoka Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar ofisi ya Pemba, wakijadiliana mambo mbali mbali wakati wa kikao cha mashauriano kati ya Sekta ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi SMT na Wizara Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi SMZ, kikao kilichofanyika mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

KATIBU Mkuu wizara ya ujenzi na Uchukuzi SMT Gabriel Migire (kulia) wakijadiliana jambo na Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar Amour Hamili Bakar, wakati wa kikao cha mashauriano kati ya Sekta ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi SMT na Wizara Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi SMZ, kikao kilichofanyika mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

AFISA kutoka shirika la uwakala wa Meli Tanzania Josephine Bujiku, akigawa vipeperushi mbali mbali vinavozungumzia masuala mbali mbali ya shirika hilo, wakati wa kikao cha mashauriano kati ya Sekta ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi SMT na Wizara Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi SMZ, kikao kilichofanyika mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.