Habari za Punde

Michuano ya Tamasha la Elimu Bila Malipo Mchezo wa Mpira wa Kikapu Pemba.

MCHEZAJI wa Timu ya Haile Salasi Abdalla Mohamed akimiliki basket pembeni ya mchezaji wa Timu ya Umoja Uzini, wakati wa mashindano ya Elimu bila malipo ngazi ya Taifa, mchezo uliopigwa uwanja wa Tenisi, Haile Salasi kuibuka na ushindi wa Vikapu 19-8.

MCHEZAJI Salma Haji kutoka skuli ya Mwembe Ladu akirusha mpira katika kikapu, wakati wa mashindano ya elimu bila ya Malipo ngazi ya Taifa, huku skuli ya Mwembeladu ikikubali kipigo cha basket 12-8, mchezo uliofanyika uwanja wa Tenis Chake Chake Pemba.

(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.