Habari za Punde

Rais Mhe Samia awasili Bagamoyo kurikodi kipindi cha Royal Tour leo

Wananchi wa Tegeta wakishangilia mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kusimama na kuwasalimia katika eneo hilo wakati akielekea Bagamoyo mkoani Pwani kwa ajili ya kurekodi kipindi maaraufu cha Royal Tour leo tarehe 02 Septemba, 2021.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Wananchi wa Bagamoyo Mkoani Pwani leo Sept 02,2021 alipowasili katika Eneo la Uvuvi Bagamoyo kwa  ajili ya kuendelea kurekodi kipindi maarufu cha Royal Tour kitakachotangaza Utalii, Biashara na Uwekezaji Nchini. PICHA NA IKULU
Wananchi wa Zinga pamoja na viongozi mbalimbali wa Mkoa wa Pwani wakishangilia mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kusimama katika eneo hilo wakati akielekea Bagamoyo mjini mkoani Pwani kwa ajili ya kurekodi kipindi maaraufu cha Royal Tour leo tarehe 02 Septemba, 2021

Wananchi wa Zinga pamoja na viongozi mbalimbali wa Mkoa wa Pwani wakishangilia mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kusimama katika eneo hilo wakati akielekea Bagamoyo mjini mkoani Pwani kwa ajili ya kurekodi kipindi maaraufu cha Royal Tour leo tarehe 02 Septemba, 2021


 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan. PICHA NA IKULU

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.