MWENDESHA Mashataka
wa Serikali Pemba Asiya Ibrahim Mohammed, akimvisha koja Mkurugenzi wa
Mashataka Zanzibar Salma Ali Hassan, mara baada ya kuwasili katika ofisi ya
Mkurugenzi wa mashtaka Pemba, kwa ajili ya kujitambulisha kwa wafanyakazi wa ofisi
hiyo ikiwa ni mara ya kwanza toka kuteuliwa
JAJI wa Mahakama Kuu
Zanzibar Muumini Khamis Kombo, akizungumza katika mkutano wa kumtambulisha
mkurugenzi mpya wa Mashtaka Zanzibar na kumkabidhi ofisi na wafanyakazi upande
wa Pemba, hafla iliyofanyika katika ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Madungu
Chake Chake.
JAJI wa Mahakama Kuu
Zanzibar Muumini Khamis Kombo, akimkabidhi Muongozo wa Uwendeshaji wa Mashataka
Zanzibar wa 2015 kwa Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar Salma Ali Hassan, ikiwa ni
makabidhiano ya ofisi yake mpya uapnde wa Pemba, hafla iliyofanyika katika
ofisi ya Mkurugenzi wa Mashataka Madungu Chake Chake
MKURUGENZI wa Mashataka
Zanzibar Salma Ali Hassan, akizungumza na watendaji wa Ofisi yake Pemba wakati
wa mkutano wa kujitambulisha kwake na kukabidhiwa vitendea kazi, hafla
iliyofanyika katika ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Madungu Chake Chake
MWENDESHA Mashtaka
ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Pemba Asiya Ibrahim akitoa neno la shukurani
kwa mkurugenzi mpya wa Mashtaka Zanzibar mara baada ya kumalizika kwa kikao cha
kujitambulisha kwake kwa wafanyakazi wa ofisi ya Pemba.
WAFANYAKAZI wa Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashataka Pemba, wakiwa katika mkutano na mkurugenzi wao mpya wa Ofisi ya Mkurugenzi wa mashtaka Zanzibar, aliopofika kujitambulisha kwa watendaji wa ofisi yake Pemba.
(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment