Wazir wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said akiwa na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo bw Ali Khamis Juma, pamoja na Mkurugenzi Utumishi na Uendeshaji bwana Omar Ali Omar BHAI, wakitafakari na kuangalia barabara iliyopo karibu na Wizara hiyo Mazizini Mjini Unguja, ambayo imejaa maji ya mvua iliyonyesha muda mchache yaliyotokana na kuziba kwa mitaro iliyopo pembezoni mwa barabara hiyo na kuleta usumbufu kwa wanaoitumia barabara hiyo.
Sehemu ya maji yaliyotuwama katika barabara iliyopo karibu na Wizara hiyo Mazizini Mjini Unguja, ambayo imejaa maji ya mvua iliyonyesha muda mchache yaliyotokana na kuziba kwa mitaro iliyopo pembezoni mwa barabara hiyo na kuleta usumbufu kwa wanaoitumia barabara hiyo.
Picha zote na Maulid Yussuf WEMA
No comments:
Post a Comment