Habari za Punde

Kongamano la uanaharakati wa kupiga ukatili wa kijinsia lafika Skuli ya Msingi ya Madungu

WANAFUNZI wa Skuli ya Madungu Msingi Wanaume, wakiwa wameshika moja ya mabango wakati wa maandamano ya wanafunzi hao, kabla ya kuanza kwa kongamano la siku 16 za uwanaharakati wa kupiga ukatili wa kijinsi, lililoandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar tawi la Pemba.(PICHA NA ABDI SUELIMAN, PEMBA)

MWANASHERIA kutoka Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar Siti Habib Mohamed, akimsikiliza mmoja ya wanafunzi wa skuli ya Madungu Msingi Salma Hassan Abeid, wakati wa kongamano la siku 16 za uwanaharakati wa kupiga ukatili wa kijinsi, lililoandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar tawi la Pemba.(PICHA NA ABDI SUELIMAN, PEMBA)

WANAFUNZI wa Skuli ya Madungu Msingi Wilaya ya Chake Chake, wakiwa wamekunja ngumi mkononi kuashiria kupiga vita vitendo vyote vya udhalilishaji wanavyofanyiwa watoto, wakati wa kongamano la siku 16 za uwanaharakati wa kupiga ukatili wa kijinsi, lililoandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar tawi la Pemba.(PICHA NA ABDI SUELIMAN, PEMBA)

MWANASHERIA kutoka Kituo cha huduma za sheria Zanzibar Tawi la Pemba, Siti Habib Mohamed akimkabidhi vitabu na majarida mbali mbali mwanafunzi Hamil Nassor Juma, baada ya kujibu masuali ipasavyo aliokuwa akiulizwa, wakati wa kongamano la siku 16 za uwanaharakati wa kupiga ukatili wa kijinsi, lililoandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar tawi la Pemba.(PICHA NA ABDI SUELIMAN, PEMBA)

MWANASHERIA kutoka ZLSC Siti Habib Mohamed, akimkabidhi baadhi ya vitabu, majarida mmoja ya wanafunzi wa skuli ya Madungu Msingi, wakati wa kongamano la siku 16 za uwanaharakati wa kupiga ukatili wa kijinsi, lililoandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar tawi la Pemba.(PICHA NA ABDI SUELIMAN, PEMBA)

MWANASHERIA kutoka ZLSC Siti Habib Mohamed, akimkabidhi baadhi yvitabu, majarida mmoja ya wanafunzi wa skuli ya Madungu Msingi, wakati wa kongamano la siku 16 za uwanaharakati wa kupiga ukatili wa kijinsi, lililoandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar tawi la Pemba.(PICHA NA ABDI SUELIMAN, PEMBA)

MWANASHERIA kutoka cha huduma za sheria Zanzibar tawi la Pemba, Siti Habibu Mohamed, akizungumza na wanafunzi wa skuli ya madungu Msingi, wakati wa kongamano la siku 16 za uwanaharakati wa kupiga ukatili wa kijinsi, lililoandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar tawi la Pemba.(PICHA NA ABDI SUELIMAN, PEMBA)


 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.