MKUU wa Wilaya ya Mkoani Khatib Juma Mjaja,
akifungua kanga kuashiria ufunguzi wa madarasa matatu ya kusomea kwa wananchi
wa skuli ya Kiwania Msingi, madarasa hayo yamejengwa na Makamu wa Pili wa Rais
Zanzibar Hemed Suleiman Abdalla, ikiwa ni utekelezaji wa ahadi yake aliyoiweka
kwa skuli hiyo wakati akiwa Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba, huku viongozi mbali
mbali wakishuhudia wakiwemo Mbunge na Mwakilishi wa jimbo la Kiwani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MWAKILISHI wa Jimbo la Kiwani Mussa Fumu Mussa,
akizungumza na wananchi wa Kiwani katika hafla ya kukabidhi madarasa matatu ya
kisasa ya kusomea wananchi wa skuli ya Kiwani, yaliojengwa na Makamu wa Pili wa
Rais Zanzibar Hemed Suleiman Abdalla, ikiwa ni utekelezaji wa ahadi yake aliyoiweka
kwa skuli hiyo wakati akiwa Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman
Abdulla, akizungumza na wananchi wa Kiwani kupitia Simu ya Mbunge wa Jimbo hilo
wakati wa hafla ya kukabidhi madarasa matatu ya kusomea wanafunzi, yaliojengwa
na Makamu wa huyo ikiwa ni utekelezaji wa ahadi yake aliyoiweka kwa skuli hiyo,
wakati akiwa Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba, huku viongozi mbali mbali
wakishuhudia wakiwemo Mbunge na Mwakilishi wa jimbo la Kiwani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MKUU wa Wilaya ya Mkoani Khatib Juma Mjaja, akizungumza na wananchi wa Kiwania wakati wa hafla ya kukabidhi madarasa matatau ya kusomea wanafunzi, yaliyojengwa na Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Hemed Suleiman Abdalla, ikiwa ni utekelezaji wa ahadi yake aliyoiweka kwa skuli hiyo wakati akiwa Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MUONEKANO wa baadhi ya madarasa yaliyojengwa na
Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Hemed Suleiman Abdalla, ikiwa ni utekelezaji wa
ahadi yake aliyoiweka kwa skuli hiyo wakati akiwa Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MUONEKANO wa baadhi ya viti na meza za kukalia
wanafunzi wa skuli ya msingi Kiwani, vilivyomo katika madarasa matatu ya
kusomea yaliojengwa na Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Hemed Suleiman Abdalla,
ikiwa ni utekelezaji wa ahadi yake aliyoiweka kwa skuli hiyo wakati akiwa Mkuu
wa Mkoa wa Kusini Pemba.(PICHA NA ABDI
SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment