AFISA Mdhamini Afisi ya Rais Katiba, Sheria,
Utumishi na Utawala Bora Pemba Halima Khamis Ali, akizungumza na kuwakaribisha
washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo maafisa wa Jeshi la Polisi na Maafisa
Ustawi juu ya masuala ya Msaada wa Kisheria, mafunzo hayo yametolewa na Idara
wa katiba na Msaada wa kisheria Zanzibar kwa ufadhili wa Taasisi ya LSF.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MAAFISA Sheria kutoka Idara ya Katiba na Massada wa
Kisheria Zanzibar, kulia ni Afisa Sheria Bakari Omar Ali, katikati ni Afisa
Sheria Yussar Abdalla Said na Afisa Sheria Salma Suleiman Abdalla, wakifuatilia
mafunzo ya kuwajengea Uwezo maafisa wa Jeshi la Polisi na Maafisa Ustawi Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MKURUGENZI Idara ya Katiba na Msaada wa Kisheria
Zanzibar Hanifa Ramadhan Said, akitoa maelezo juu ya mafunzo ya kuwajengea
uwezo maafisa wa Jeshi la Polisi na Maafisa Ustawi juu ya masuala ya Msaada wa
Kisheria, mafunzo hayo yametolewa na Idara wa katiba na Msaada wa kisheria
zanzibar kwa ufadhili wa Taasisi ya LSF.(PICHA
NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
KATIBU Mkuu Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utamishi wa
Umma na Utawala Bora Zanzibar Seif Shaban Mwinyi, akifungua Mafunzo ya siku
mbili juu ya kuwajengea uwezo maafisa wa Jeshi la Polisi na Maafisa Ustawi juu
ya masuala ya Msaada wa Kisheria, mafunzo hayo yametolewa na Idara wa katiba na
Msaada wa kisheria Zanzibar kwa ufadhili wa Taasisi ya LSF.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
WASHIRIKI wa mafunzo ya kuwajengea uwezo maafisa wa
Jeshi la Polisi na Maafisa Ustawi juu ya masuala ya Msaada wa Kisheria,
wakifuatilia kwa makini ufunguzi wa mafunzo hayo yaliotolewa na Idara wa katiba
na Msaada wa kisheria zanzibar kwa ufadhili wa LSF.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
AFISA Sheria kutoka Idara ya Katiba na Msaada wa
Kisheria Pemba Bakar Omar Ali, akiwasilisha mada ifahamu sheria ya Msaada wa
Kisheria namba 13/2018 na kanuni za msaada wa kisheria za Mwaka 2019, katika
mafunzo ya siku mbili ya kuwajengea uwezo maafisa wa Jeshi la Polisi na Maafisa
Ustawi juu ya masuala ya Msaada wa Kisheria.(PICHA
NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
BAADHI ya washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo
maafisa wa Jeshi la Polisi na Maafisa Ustawi juu ya masuala ya Msaada wa
Kisheria, wakifuatilia kwa makini mafunzo hayo yaliotolewa na Idara wa katiba
na Msaada wa kisheria zanzibar kwa ufadhili wa LSF.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment